Monday, February 27, 2012

WAZIRI WA FEDHA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Hadji Mponda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati akipokea vifaa vya Maabara vilivyotolewa na Taasisi ya Kijerumani ya MERCK, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Karl-Ludwing Kley.

0 comments:

Post a Comment