Mabingwa
wa mchezo wa Safari Pool 2014, Klabu ya Topland ya Mkoa wa Kimichezo ya
Kinondoni jijini Dar es Salaam wakipokelewa kwa shangwe na mashabiki mara baada
ya kuwasili klabuni kwao Magomeni wakitokea mkoani Kilimanjaro.
Mabingwa
wa mchezo wa Safari Pool wa Klabu ya Topland ya mkoa wa kimichezo wa Kinondoni
Dar es Salaam wakishangilia kwa kucheza mara baada ya kuwasili klabuni
kwao Magomeni wakitokea Mkoani
Kilimanjaro.
Mwenyekiti
wa Chama cha Pool wa Mkoa wa kimichezo Kinondoni(KIPA), Goodluck Mmari (kulia)
akimkabidhi mkurugenzi wa klabu ya Topland,Fredrick Kiando kikombe mara baada
ya timu ya Topland ya mkoa wa kimichezo wa Kinondoni kutwaa ubingwa wa
mashindano ya Safari Pool Taifa 2014 yaliyomalizika mwishoni mwa wiki mkoani
Kilimanjaro.
0 comments:
Post a Comment